Je, kututoka kwa Maalim Seif Sharif Hamad ndiyo mwisho wa siasa za upinzani visiwani Zanzibar?, ungana na Masoud Kipanya & Rahma Mwita leo kuanzia saa 1 kamili za usiku wakiwa na Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Said Msonga wakijadili hili kwa kina.
Ni kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294.
#Mtazamo #ZaidiNaZaidi
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for KUTUTOKA MAALIM SEIF NDIYO MWISHO WA UPINZANI ZANZIBAR: