Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara, umegubikwa na maneno mengi sana ya kukatisha tamaa. Maneno kama kuku wa kienyeji wanakua taratibu sana, hawana uzito mkubwa, wanataga mayai machache, gharama za chakula zinaenda juu zaidi.
Wapo waliokata tamaa kwa kusikiliza maneno hayo, lakini tupo tulioamua kuziba masikio na kukomaa kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara na inatulipa.
Niliamua kufanya utafiti kupitia maneno yanayo sambaa kuhusu ufugaji kuku wa kienyeji na kile nilichokipa nimekielezea kwenye video hii.
Tazama mpaka mwisho ujifunze mengi kutoka changamkia fursa.
#kukuwakienyejiwanalipa
#ufugajiwakukuwakienyejikibiashara
#kukuwakienyejinibiashara
@ggmmjasiliamalionline27463 years agoNasikia watu husema unaweza ukajenga bwawa chini la samaki kisha juu unaweza kuweka banda la kuku wakimaanisha kwamba kinyesi cha kuku ni chakula kwa kambale ikoje hii mkuu. 3
@
@user-qg8ic3oc5y10 months agoUkuna changa moto yeyote kwenye kuku wakienyeji.
@
@ggmmjasiliamalionline27463 years agoYani kila napotafuta elimu nzuri kuhusu ufugaji lazm nikutane na changamkia fursa. 2
@
@denissemwenda40372 years agoNaomba kuuliza swali hili, kuna uwezekano wa kuchanganya chanjo za chupa mbili tofauti yaan kama gumboro na new castel na kuwapa kwapamoja au kuna madhara. ...Expand1
@
@princeclever37743 years agoHaujawai kuniacha empty broo thanks. Kwa kupitia changamkia fursa nishaanza ufugaji wa kuku. 5
@
@VickyMsuya-ho1if6 months agoTuandikie namba nahitaji vifaranga vya croiler.
@
@seifsaidi99113 years agoShukran sana, je kuna fursa ya kuwekeza katika hii biashara ya kufuga kuku wa kienyeji. 2
@
@aurelianimtundu8522 years agoTafadhari naomba namba ya cm nahitaj vifaranga.
@
@lawrence85973 years agoUmesema una kitabu, je, kitabu ni silingi ngapi na kinapatikana wapi?
@
@olelilawola84493 years agoSafi kwa elimu nzuri na endelevu, tuwekee basi mawasiliano ya wauzaji wa concetrates. 1
@
@julianaharrison43563 years agoNafuga kuku wa kienyeji wanataga mayai 12, 15, 18, wengine mpaka 20 kuku wa kienyeji watu hawapi chakula ndio maana wanaona hawana faida. 7
@
@nancylubango63943 years agoI want to join next classes plz when next?
@
@ramadhanijumalipala66353 years agoKipimo cha chakula kwa kuku wa kienyeji je ni sawa na kile cha broiler au chotara?
@
@geraldntalondo61103 years agoNitawapataje sasa hasa wa mwezi mmoja na ni bei gani kwa kila kifaranga nataka 200.
Related videos for Nimeweza Kufuga Kuku wa Kienyeji Kibiashara, Usiache Kujaribu Hawa Kuku ni Biashara:
kitabu ni silingi ngapi na kinapatikana wapi?