Duration 7:27

Jinsi ya kupika Wali wa kupindua maklooba

532 watched
0
29
Published 8 Jun 2020

Assalam alaykum, Hii ni recipe ya wali mtamu wa kupindua unaweza kutumia kitoweo chochote lakini inapendeza zaidi ukitumia kuku au nyama ya ng'ombe. Mahitaji; 1. Viazi mbatata vikubwa (6 hadi 10) 2. Vitunguu maji vikubwa (3 hadi 5) 3. Biringanya kubwa moja au mawili 4. Carrot 1 5. Pilipili hoho moja kubwa 6. Tangawizi na thom 7. Masala ya kuku au nyama 8. Pilipili manga na chumvi 9. Kuku au nyama ya ng'ombe 10. Mchele wa pishori/basmati vikombe vinne 11. Soya sauce Chumvi niliweka kwenye kuku na wakati nachemsha wali. Haina haja tena kuongeza. Natumai mmependa na kufurahia ahsanteni na karibuni.

Category

Show more

Comments - 22