@rahmaramadhan97733 years agoKipindi mashallah dina nawapenda sana jamani hongereni kumbuka na swebe mna changamsha sanaaa.
@
@mamunote35073 years agoAsanteni sana uhondo mungu awabarikie sana.
@
@estherjulita44902 years agoJamani nafanyakazi yanyumba jamana nawasikiliza sisi atuna mashetani bwana.
@
@namirihamisi38993 years agoSwebe ubungo na baruti mbona karibu au umehama? 1
@
@yusrasalum3 years agoDina waulize na mishahara yao wawe wanalipa vizuri sio ukae na dada miaka kumi unamlipa kwa mwez elfu 20 wakiondoka hawana kitu. 1
@
@floramlowe70783 years agoKweli sikuhizi tumekalili ukiona rafiki wa kike na kiume ujue kuna jambo lkn mi naona niushamba na inawezekana tu.
@
@mamunote35073 years agoMm ni me leave mwenyewe watt wangu na huku ninakorofisha kazi zangu binafsi.
@
@rhdimpoz60193 years agoMaa shaa allah nami nikirudi ughaibuni nitawapikiaa hahaha. 1
@
@naidasuleyman60053 years agoLol kumbuka kanishinda tabia kwa kwelii mashavuu makubwaa kwa kupuliza motoo mhhjh.
@
@dothosalum50983 years agoMmenichekesha hapo mashetwani, hiyo ndio stahili ya ughaibuni. Ukichoka job unaamsha mashetwani ya kihind kiarabu kizungu kiswahili tickets fasta. 1
@
@zeinababdi47573 years agoWanawake huko bongo wanajidekeza, mbona wengine tunafanya kazi nje ya nyumba na bado tunalea bila hao wadada wa kazi. Pls.
@
@aishaally27303 years agoWamama wa leo labda huko tz sie wanje mtu unabeba mimba na unawatt nakazi zote za nyumba unafanya alhamdulilah watt wanakuwa na tunazaa mpaka watt sita.
Related videos for PISHI LA SUPER DADA LAFANYA SWEBBE NA DR KUMBUKA WAMPE NAFASI: