NYIMBO MAALUM Ya Kumuenzi DK.MENGI | NURUELY
Msanii Nuruely Mbowe Kutoka Tanzania akiwa na BAND yake ya THE RAFIQ CLASSIC BAND wameandaa wimbo Maalumu kwajili ya Kumuaga na kumuenzi Marehemu Dkt Reginald Mengi Mkurugenzi wa IPP MEDIA
Wimbo umefanyika katika Studio za ENZOLI zilizopo Manzese na Picha jongevu "video " imefanywa na Muandaaji JOHNSON MARTIN (JXBRAND)
#KWAHERI #REGINALD MENGI
/watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
@damianmachilutv11675 years agoBig up my brother Nuruelly kwa track hii, kama unamkubali nuruelly gonga like hapa 267
@
@christopherkimani35985 years agoPole kwa ndugu wa Tanzania hapa Kenya tuko nanyi wakati huu kwa kumpoteza mtu wa maana kwenu 99
@
@loshilulukumay72035 years agoDuuuu huyu Nuruely ndo yule wa zamani zile aisee hongera sana kaka umeimba vizuri sana big up 16
@
@kastohamza64895 years agoAise Kaka Muimbaji Mungu awaongoze katka maisha yenu Maana nyimbo hii Inauzunisha sana na kutufunza tufanye mema kabra ya kutujia Siku hii Ya Kutisha.+ 1
@
@diwanikatayankonko26715 years agoNuruelly gemu linakumisi....what a talent,,,what a song.... 7
@
@khadijastephanie83075 years agoWimbo wenye ujumbe mzuri sana asante kaka kazi ya Mungu haina makosa Mungu amlaze malipema peponi mzee Mengi
@
@jacobmasyaga12935 years agoNuruelly, one of the Best Bongo Fleva Partisan of the early days. Bravo a good Vocalist his Next Song. Keep up the Pace! 22
@
@lukafrancoisb73685 years agoKatika nyimbo zote za kuwaenzi waliyo fariki huu wimbo ni number 1 ni wimbo nzuri tena unaleta huruma ndani ya moyo. The best song 2
@
@queeneva37095 years agoI CAN I MUST I WILL BE RICH THAN REGINALD MENGI WE HAVE REAL LOST SOMEONE IMPORTANT. 19
@
@doramstafa54375 years agoR.I.P mzee wetu mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ...tutakumbuka daima melele na jina lako litazidi kuwepo duniani!!! 19
@
@felisterfrancis48715 years agoUpumzike kwa imani ......tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi
@
@finahenly645 years agoNimelia. ...siwez kusema kwa heri moyo unakataa 45
@
@phoebemmanga2995 years agoOh Watoto wako umewaachia nani, Wenye mapungufu ya viungo umewaachia nani??? Wimbo umeniliza. R I.P. DR. REGINALD ABRAHAM MENGI. 13
@
@janethkimaro34105 years agoNi kweli hatuwezi kusema kwa heri. Mtu mwema anaejali wenye shida na walemavu. Inahuzunisha sana, ni masikitiko makubwa, Eee Mungu umlaze mahala pema peponi ikikupendeza Mungu tuma malaika wako aje k uzibe pengo kwa walemavu na wenye shida mbalimbali ktk taifa letu. Amen ...
@
@merinajuma71735 years agoNashndwa hta niandke nn nikikifkilia kifo mungu akupe kauri njema baba 40
@
@halunyemanueli82695 years agomwachie mungu sisisote wake mungu Hakuna jinsi poleni Sana tunaudhuni sote mungu tu
@
@adelinapetro40055 years agoMungu ata mlipa alicho panda duniani pumzika kwa amani baba yetu
@
@leokamil20755 years agoDah kweli inauma R.I.P. Mungu warehemu wote waliotangulia mbele za haki. 11
@
@samsonmagwisha23015 years agoWhat a song Nuruell you are call in music is in reggae tune, you make me sad to high degree. After deeply pain & saying good bye Baba Mengi. As your fan I'm waiting another tune to comfort & rehabilitate my mood coz this tune pushed me to dangerous feelings. ...
@
@halunyemanueli82695 years agopoleni Sana wana familiia kwa kipindi kigumu Kama hiki nasema polen
@
@sophiasway5305 years agoHakika alivipiga Vita vilivyo vizuri na hatimaye mwendo ameumaliza,Mungu akampe punziko la milele akafurah na malaika mbinguni😭😭😭😭 7
@
@Roggy27115 years agoWimbo mzuriii mpk nimesikitika kwa uchungu... Rest in Paradise our beloved one Reginald Mengi 4
@
@hyasintakundy3695 years agoSleep well dady see you again tutakukumbuka kwa vingi tuu ..😢😢😢 14
@
@najatmngazija15475 years agoPole kwa familia zima kwa ujumla na taifa lote, pumzika kwa amani Dr.Mengi inauma sana , msiba hauzoeleki jaman😭😭😭😭 4
@
@saramassoy15935 years agoNi mfano wa kuigwa dunia na mbinguni Mwenyezi Mungu ampokee kwake na amsamehe pale alipojikwaa. 2
@
@nduyehgechanel84765 years agoDr. Reginald Mengi umetutoka inauma sana. Nakaa nawaza mzeenakumbuka ulikuwa na mipango mingi ya kuendeleza nchi yetu yakiwemo ujenzi wa viwanda mbalimbali Kama kiwanda cha simu na Magari. Leo umeondoka, nawaza nani WA kuendeleza mawazo yako mazuri. Daaaaaa inauma sanaaa ...9
@
@gabrielmichael37385 years agoInasikitisha lakini ushukuliwe mungu kwa kuwa kazi yako haina makosa daima tutakumbuka mema yako
@
@kiondothomas35605 years agoPumzika kwa amani mzee wetu dr.regnad mengi hakika utakumbukwa kwa mema ulotenda katika kipindi kifupi cha hapa duniani mungu akupe nuru ya mwangaza na tukutane kwenye Ile asubuhi njema tuliyoahidiwa wana wa adamu 🙏🙏🙏 1
@
@dionisiamgina64115 years agoPumzika baba yangu Sijui nisemeje tu ila mungu ndo anajua ulivo libeba tafa kwa kudeal na walemavu, masikini n.k
@
@esaumakele74765 years agoEwe mwanadamu tambueni kunakuzariwa na kufa, kazi ya Mungu aina makosa,
@
@nazirnoor41605 years agoKama kawaida, Nuruel. R I P mzee Mengi 4
@
@johnpesambili48065 years agoPoleni wapendwa mungu awatie moyo, Tunashukuru kwa wimbo mzuri wa kuomboleza, mungu awabariki sana. Sisi ni wasafiri duniani sio nyumbani kwetu.
@
@queenafyshebah96985 years agoRest in Paradise Dk MENGI,poleni wa Tanzania wote Mwenyezi Mungu awatie nguvu Kwa huu wakati mgumu... 5
@
@helenjonsob57185 years agoMUNGU anajua dhawabu ya mengi hakika hawezi muacha
@
@nebathkalolo7235 years agonice song special fo a hello MENGI we will remember all the time
@
@emilydavidmdoe35525 years agowimbo unahuzunisha sana.Pumzika kwa amani,Mengi
@
@devothamchami76855 years agoDuuu inauma saana? Yesu mwenyewe alikufa binadamu tutakwepea wapi? R. I. P baba
@
@elicegelard50265 years agoUpumzike kwa Aman mzee wetu. Mungu ailaze roho yako mahali pema pepon. Mungu alitoa Mungu ametwaa Jina lake Lihimidiwe. Polen wanafamilia na taifa kwa ujumla. 7
@
@judithmelvinealuchio89685 years agocongratulations guys for a great last respect song for an East African hero rest in antarnal place mengi
@
@moseskizondo75355 years agoPumzika kwa amani Mzee wetu tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi.I can,I will and I must tutakkumbuka daima 1
@
@deboramoris64825 years agoSurrey nimelizwa na huu wimbo jamani RIP Mengi 1
@
@peterthomas2735 years agoRIP Dr, your legacy will live forever in this country.. 1
@
@cecymaro13745 years agodaaaaaaah r..i..p Dr regnaldi mengii 😢😢
@
@eliasjilanga23205 years agoDah,,,,,, polen sana ndugu na jamaa mungu ndo hakim wa kweli hapa dunian mengi fika salama tuko nyuma yako
@
@alfarsiali27795 years agoHapa dunian tunapta tu jamn makaz yetu ni akhera tujiandaen tulio bak jmn tuiyandae kesho yet yan hata km ni tajir kiac gan lkn hautaweza kuish milele au useme mda ukiisha ulipie ili uish tena😥😥 hapn tujihadin saana kutoa pale m.mungu anapotujaalia kwan ndyo twaiyandaa kesho. ...16
@
@stahimilmassawe85405 years agoSiwez kusema kwaheri moyo unakaa,mungu umpe raha ya milele
@
@zainabuyasin81895 years agoTangulia baba mungu akulaze mahali pema pepon inauma😭😭😭😭
@
@leodgandunguru16955 years agoAmeimba kimaadili kabisaaa, bila kuwakela watu, wimbo unatoa pole kwakweli ubalikiwe, na marehemu apumzike kwa amanii, say AMEN
@
@josephsilla22715 years agoPumziko la Milele Umpe ee Bwana na mwanga wa Milele amwangazie amina.
@
@lainessmushi86475 years agoSina chakusema najikuta moyo unauma sana juu ya msiba huu ewe mugu wa mbingu na nchi mlaze mahali pema baba huyu ,japo ulisema ningumu tajili kuingia ufalme wa mbinguni lakin natumain kwa baba huyu u mahali pazuri huko kwayale haliyo tenda R.I.P, MENGI. Tutakukumbuka daima nenda salama ...
@
@nexakadeus78555 years agoRest in peace Mengi,, mwenyez mungu akupe kauli thabiti 2
@
@bwanahisanyanginywa90235 years agokwaheri baba yetu. Mungu akulaze mahali pema peponi
@
@sulemankileo57795 years agoR.I.P Mangi tutamiss busara na uruma zako saan .....
@
@elentasvisionworldwide34795 years agoDaaaah inauma sannaah!! 😢😢😢😢😭😭😭 1
@
@rachaeldavid43965 years agonaumizwa sana na msiba wako ingawa hata ckujui live nmekujua kupitia mitandao tangulia baba sote njia ni moja nasi tunakuja nyuma 17
@
@ibrahimutenga45045 years agoMungu ailaze roho ya Marehem mahali pema pepon. 1
@
@robertjunior99165 years agoMungu atabaki kuwa Mungu ni fundisho kubwa sana kwa walio baki
@
@musasimba36895 years agoKama umemuona jamaa alovaa jezi ya Simba gonga like R I P
@
@sheysarahnjeno93265 years agoDunia tunapita pumzika kwa amani mzee wetu.MENGI
@
@winfridadeogratias63015 years agoPole Jack kuachiwa watt wadogo hv. Mungu mwema jikaze Dada.
@
@longinemuhumba38045 years agoR.i.p mzee mengi..ila hii ngoma kali sana ukiisikiliza kwa umakini zaidi.
@
@elijahlinus54505 years agoR.I.P Mr. Mengi Regnard.Mwenyezi Mungu awape nguvu na ujasiri wafiwa.
@
@kelvinmnyamoga20655 years agoMungu awabariki Sana wimbo wa faraja mzuri wenye hisia RIP
@
@fidelisolomi23035 years agoNashindwa kujizuia Wimbo umeniliza duuhhh, pumzika kwa Amani mpendwa wetu
@
@khadijak30655 years agoPoleni watanzania na pamoja na jackline maskini tusisikilize ya watu mtakie mumeo safari njema apokelewe na malaika usiosoninesho moyo kwa maneni ya. Watu mengi alikuwa mume wako dunia nzima tunajuwa R.I.P. mwamba Wa kimachame mungu akuangazie mwanga Wa milele. Amen ...
@
@mussamkalawa21015 years agoDaaaaah nimelia sana hasa walemavu aliokua akiwasaidia ,,,,rest in peace Mengi
@
@salomebonifasi49365 years agohaki nmelia sijui Dada jack anajisikiaje vile watot wadogo duh mungu akupe ujasiri my sister sio muda kuendeleza maneno ya kashfa mungu ndo anajua kila kitu cha hapa duniani.
@
@suleimansuleiman54985 years agowimbo unatufunza kua tuyaenzi MEMA ya Reginald. R.I.P 2
@
@octaviankaliyodeogratias60305 years agoPumzika salama Ndugu yetu kipenzi cha roho ya Watanzania 1
@
@mudarisuburhan71825 years agoAPangalo mungu webina dam huwezi pangua .....sisi tulio baki tuombe mwisho mwema swala kwanza.. 1
@
@Jolly_Jollyk5 years agoRest in peradise Baaba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 forever you will be rememberd RIP 1
Related videos for WIMBO MAALUM wa Kumuenzi DK.MENGI | NURUELY:
I MUST
I WILL
BE RICH THAN REGINALD MENGI
WE HAVE REAL LOST SOMEONE IMPORTANT. 19
Nakaa nawaza mzeenakumbuka ulikuwa na mipango mingi ya kuendeleza nchi yetu yakiwemo ujenzi wa viwanda mbalimbali Kama kiwanda cha simu na Magari. Leo umeondoka, nawaza nani WA kuendeleza mawazo yako mazuri. Daaaaaa inauma sanaaa ... 9
R I P mzee Mengi 4
😢😢😢😢😭😭😭 1
sio muda kuendeleza maneno ya kashfa mungu ndo anajua kila kitu cha hapa duniani.