SIKU ya jana Amber Lulu na mpenzi wake Davil wamevalishana tena pete ya ya kwa madai ya Update penzi lao na ndoa ya kwa ujumla kwani wamepitia misukosuko mingi.
@thabitnasibu14364 years agoIla msiwabeze sana jamani wakati mwingine waombeeni dua wafike mbali! 23
@
@MrAmuhinde4 years agoI love it, mungu awabariki mdumu na ndowa yenu. 3
@
@agnesmwita24744 years agoTz ukifa kwa stress basi umeamua mwenyew. 89
@
@brandinakizito35414 years agoNani alieona sugu za devi kwenye mikono. 6
@
@maimunamwaren58854 years agoYan nilikua nahasira leo mawazo lkn dah we mpiga picha mungu anakuona. 1
@
@rukiamwakinyo53244 years agoMwenyez mungu nakuomba unipe miaka mingi ya kuishi hapa duniani happy father' s day to me. 1
@
@mwanahalimamwachili96794 years agoMchicha Ulianza Kama M,buyu,Mabrooq Hongereni Vyenye Mlipatana Mkiwa 2,Mkikosana Pia Mfunge Midomo Yenu.Kila la kheri. 4
@
@zuhuramsuya68744 years agoKweli nimecheka mpaka rah yani mume niondolea hasira mana kunamtu aliniboa atari. 3
@
@wilsonrobby43644 years agoHawa watakua na mapungufu ya akili akyamungu koti km la mjomba nishai. 24
@
@zubedasima18644 years agoMmh mungu awasaidie mana kama si akili zenu sijui mnakwama wapi.
@
@maylynmayor64974 years agoAdvertising the wedding dress. hustling is real. anyway i love the dress some1 should marry me please. 6
@
@estermbise42774 years agoHii ndoa imefungwa fungwaje? Mbona haieleweki.
@
@esterdoriye43044 years agoEti surprise kati umevaa kabisa shela hahahahaa raha sana. 1
@
@husseinsalimmaula42544 years agoBongo nomaaa mapicha picha tu kila siku.
@
@user-xy8mh5id1l4 years agoJamani hongeren kama umeskia mbuyu kama mchicha.
@
@zuukim76944 years agoCjawah kucheka hv, haya ngoja nicheke ili stress nlzo nazo zpungue.
@
@hishamadnan19774 years agoHawa wanalaana kwa kweli. Mungu awaongoze hawa. Kwa kweli hawajuiinaskitisha sana!
@
@remikimola95574 years agoMmh ndoa nitakatifu lakn watu wamegeuza nimchezo wakuugiza.
@
@babymansouth11644 years agoMmesikia mchicha unaanza kama mbuyu amba vituko mungu awabariki sana mkifa mzikane wallah msiachane k abisaa raha jipe mwenyewee kweli nyie mnajua kujipa rahaa. 8
@
@khamoshmikidadi92624 years agoKoti km limetundikwa kwny henga kha n iyo ndoa wamejifungisha wenyewe hawa hawajaozeshwa n mt. 1
@
@bimumaulid11714 years agoSasa hivi fanyeni biashara acheni kufirana hadharani. 1
@
@rukiamsomi68694 years agoHi jamani hii ndoa ya ngapi nyinyi si mlisha owana ila uyo bhana hajapendeza.
@
@ollgfgv98724 years agoKu update ndoa wangapi washawahi ku update ndoa zao nani kaiona pete ya buza. 1
@
@joslinchuwa12984 years agoYani cna mbavu nimecheka mpaka nimelia jamani mungu nisamehe.
@
@happysalva94804 years agoJamani yani mimi hawa uwaga siwaelewi maybe ndo wame okoka ivo. 2
@
@dalianakerefu4904 years agoHi move inaitwaje jamani ila mtangazaji huendi mbinguni eti koti la jeje.
@
@kessynurutajiri49404 years agoMmmh! Hamna la maana. Mlivyopeleka polisi mlikuwa hamuhitajiani? Hamna cha maana hapo. Pete mbele ya waandishi wa habari? Kwio. 4
@
@fridahkabiritho21654 years agoKwani mtangazi anatangaza mpira mbn cjakuelewa mm.
@
@dottnatt71104 years agoKiki hizi jamenii. Haya tunashukuru kwa kututoa stress. 3
@
@kimmenelus78354 years agoYaani cjui hata bwana harus anakunywa nini hapo nawatakia ndoa njema. 8
@
@khadijaodumo4154 years agoNimekwama hapo kwa koti na long' i ya jejemtangazaji wewe mungu anakuona. 1
@
@lissapoul52274 years agoHakuna siku nimecheka kama leo. Hawa watu walitakiwaga kuwa makomedi. 4
@
@shufaiyammohd56234 years agoHi suti ya bwana harusi veepee mbona kubwa km blauzii. 2
@
@shufaiyammohd56234 years agoKalklet ni calculate duh. Jamani.
@
@jocyalex79574 years agoHakika kwenye ndoa huo kunakugombana na kupatana mimi nakwanza nawapongeza nawaona niwatu ambao ni majasiri sana hamjali maneno yawatu endeleeni kupendana wapendwa.
@
@utapatatabusanautanyooka26004 years agoYan hawa ndoo wanawapa faida watuhawa. 2
@
@chantalgakima22764 years agoHawa mataira wamenifanya nicheke kwa sauti. 6
@
@roselinasandi65094 years agoAma kweli ndege wanaofanana huruka kw pamoja paa.
@
@mamahusein44764 years agoSasa. Bwana arusi anachibuaga ila ktk harusi ameshindwa kujichubua.
@
@ratifayahaya98334 years agoYani awa. Wasenge unaweza kuwatia vibao.
@
@abdulgeuka39854 years agoMende kala shuti mzee wa mavi yani hapo ndio umekamilika kuwa mende zaidi.
@
@halimahamis39074 years agoHuyu kk nimpoleee au anaumwa? Mbona ivyo.
@
@robinsenuwizeye37784 years agoHarusi zisokuwa nawazazi wao sinilana iyo kweli. 4
@
@madammanka27314 years agoAma kweli kila mwenye stress apitie hapa i love tz. Stress free zone.
@
@bentyomary90444 years agoNimecheka jamani wanavituko watu koti la jeje sijalielewa.
@
@hildembilinyi73464 years agoHilo koti sijui haukupima kaka daa ukisimama kituko.
@
@raymondmsuya71274 years agoHawa watu huwa nawapenda wananitoa stress japo sidhani km ni wazima wa akili.
Related videos for AMBER RUTY NA MUME WAKE WAFUNGA NDOA MARA YA PILI/AANGUSHA KILIO/TUME-UPDATE NDOA YETU/NAJIONA MPYA:
hustling is real.
anyway i love the dress some1 should marry me please. 6
nawatakia ndoa njema. 8
duh. Jamani.
i love tz. Stress free zone.